

Lugha Nyingine
武汉一路口设立人行道闸机通道 红灯关绿灯开
Wizara ya Biashara, Viwanda na Ushindani ya Afrika Kusini imesema katika taarifa yake Jumanne, kwamba nchi hiyo inajitahidi kufikia makubaliano na Marekani, huku ushuru wa asilimia 30 uliowekwa na Washington kwa Afrika Kusini ukianza kutozwa rasmi baada ya siku tatu zijazo.
Wizara hiyo imesema wanaendelea kudhamiria kwa jambo hilo wakati wanaposubiri maoni ya dhati kutoka kwa wenzao wa Marekani kuhusu hatma ya makubaliano yao ya utaratibu.
Imebainisha zaidi kuwa mazungumzo mfululizo yamekuwa yakiendelea na Marekani, na kwamba wamesaini hati ya utangulizi wa masharti na kujiandaa kwa ajili ya kuingia kwenye makubaliano, ambayo yatafuata mwelekeo wa Marekani.
Pia imekanusha mpango wowote wa "kujitenganisha" na Marekani, ikibainisha kuwa Afrika Kusini "imechukua uamuzi wa kutolipiza kisasi" kwa ushuru uliotangazwa na Washington.
Mandhari ya Kipekee ya Karst katika Mkoa wa Guizhou yavutia watalii
Tamasha la kimataifa la densi lafunguliwa katika Mkoa wa Xinjiang, China likiwa na maonyesho 52
Wakulima wa China wawa na pilikapilika za uzalishaji wa kilimo katika kipindi cha Dashu
Maliasili nyingi za chumvi zaongeza mapato ya wanakijiji katika Wilaya ya Gegye, Xizang, China
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma